MIRADI 630 YA UWEKEZAJI YENYE THAMANI YA SH. BIL. 3.68 YASAJIWA NA TIC-MAJALIWA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akipeana mkono na Spika wa bunge la India Mheshimiwa OM Birla, mara baada ya kufanya mazungumzo kwa biaba ya Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dk. Samia Suluhu Hassan, katika Ofisi ndogo ya Waziri Mkuu Magogoni Jijini Dar es Salaam Januari 19, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)